TANZANIA LOCAL GOVERNMENT WORKERS UNION

Talgwu Chama imara, huduma bora kwa Wanachama

Viongozi Wakuu wa Chama

Mwenyekiti Taifa

Cde.Tumaini Nyamhokya

Katibu Mkuu

Cde. ....

Makamu Mwenyekiti

Cde. Romward Mwashiuya

Kaimu Katibu Mkuu

Cde. Wandiba Kongoro

Mweka Hazina

Cde......

Kuhusu Chama

TALGWU ni Chama cha wafanyakazi wa serikali za Mitaa Tanzania ambacho kimesajiliwa chini ya sheria ya vyama vya wafanyakazi no 10 ya mwaka 1998,na kilipewa nambari ya usajili  010 tarehe 15/09/2000. TALGWU inaunganisha wafanyakazi wote waliopo chini ya Mamlaka za serikali za mitaa na Taasisi nyingine  nchini ambapo hadi kufikia June 2024, Chama kilikuwa na wanachama 89,100.TALGWU inajishirikisha na shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) shirikisho la vyama vya wafanyakazi vinavyotoa huduma kwa umma duniani (PSI) na Mtandao wa Vyama vya Wafanyakazi vya Serikali za Mitaa  Africa (AMALGUN). Hivyo basi chama cha wafanyakazi ni ummoja, muungano, na mshikamano wa wafanyakazi ambao nia, malengo, matakwa na matarajio yao yanafanana.Umoja huo ndio nguzo pekee ya kupatia ufumbuzi wa matatizo yao. TALGWU inaelimisha, inatetea, na kulinda ajira na ujira wa wanachama wake kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni, miongozo na nyaraka mbalimbali za kazi

Tangazo

Tangazo la Tenda kwa mwaka 2027

Matukio mbalimbali

Waliopo hapo ni wajumbe wa Baraza, Wastaafu Viongozi wakuu wa Chama pamoja na Mgeni Rasmi, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana,Ajira na wenye Ulemavu) Ndg Patrobas Paschal Katambi, waliohudhuria Kikao cha Baraza Kuu Taifa kilichofanyika Jijini Dodoma

Mitandao

Sheria

Kuwatetea wafanyakazi katika migogoro, mashauri na kesi pindi wanapokuwa kazini

Uwakilishi

Kuwawakilisha Wafanyakazi katika majadiliano ya pamoja na Serikali /Waajiri.

Elimu

Kuwaelimisha Wanachama kuhusu wajibu wao mahala pa kazi ili kuleta tija na kuongeza uzajishaji.

Washirika Wetu