Tanzania Local Government Workers Union

TANZANIA LOCAL GOVERNMENT WORKERS UNION

Talgwu Chama imara, huduma bora kwa Wanachama

Viongozi Wakuu wa Chama

Mwenyekiti Taifa

Cde. Tumaini Nyamhokya

Katibu Mkuu

Cde. ………..

Makamu Mwenyekiti

Cde. Romward Mwashiuya

Kaimu Katibu Mkuu

Cde. Wandiba Kongoro

Mweka Hazina

Cde. ……

Kuhusu Chama

TALGWU ni Chama cha wafanyakazi wa serikali za Mitaa Tanzania ambacho kimesajiliwa chini ya sheria ya vyama vya wafanyakazi no 10 ya mwaka 1998,na kilipewa nambari ya usajili  010 tarehe 15/09/2000. TALGWU inaunganisha wafanyakazi wote waliopo chini ya Mamlaka za serikali za mitaa na Taasisi nyingine  nchini ambapo hadi kufikia June 2024, Chama kilikuwa na wanachama 89,100.TALGWU inajishirikisha na shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) shirikisho la vyama vya wafanyakazi vinavyotoa huduma kwa umma duniani (PSI) na Mtandao wa Vyama vya Wafanyakazi vya Serikali za Mitaa  Africa (AMALGUN). Hivyo basi chama cha wafanyakazi ni ummoja, muungano, na mshikamano wa wafanyakazi ambao nia, malengo, matakwa na matarajio yao yanafanana.Umoja huo ndio nguzo pekee ya kupatia ufumbuzi wa matatizo yao. TALGWU inaelimisha, inatetea, na kulinda ajira na ujira wa wanachama wake kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni, miongozo na nyaraka mbalimbali za kazi

Tangazo


Tangazo la Tenda kwa mwaka 2027

Mitandao

Sheria

Kuwatetea wafanyakazi katika migogoro, mashauri na kesi pindi wanapokuwa kazini

Uwakilishi

Kuwawakilisha Wafanyakazi katika majadiliano ya pamoja na Serikali /Waajiri.

Elimu

Kuwaelimisha Wanachama kuhusu wajibu wao mahala pa kazi ili kuleta tija na kuongeza uzajishaji.

Usimamizi

Kusimamia maslahi ya Wanachama katika njia ambayo itawahakikishia ustawi wao wa kitaaluma na kiuchumi

Kuanzisha na kudumisha uhusiano na ushirikiano na wadau wengine​

Kuendelea Kushirikiana na kubadilishana ujuzi na vyama vingine vya wafanyakazi nchini pamoja na vile vya kimataifa kwa lengo la kuboresha maslahi ya wanachama wake.

Kutoa elimu kwa wanachama kuhusu wajibu wao mahala pa kazi​

Kuhimiza wafanyakazi kufanya kazi kwa bidii na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku. Pia kuwaelimisha kuhusu Sheria, Kanuni na Taratibu zinazotumika nchini.

Kuwatetea wafanyakazi katika mashauri na kesi kazini

Kutoa huduma za kiutumishi na kisheria kwa wanachama wake pale wanapokuwa na changamoto za kesi, migogoro ama mashauri pindi wanapokuwa kazini.

Kuwatetea wafanyakazi katika mashauri na kesi kazini

Kutoa huduma za kiutumishi na kisheria kwa wanachama wake pale wanapokuwa na changamoto za kesi, migogoro ama mashauri pindi wanapokuwa kazini.

Washirika Wetu