Tanzania Local Government Workers Union

TALGWU

Kauli Mbiu Yetu…..

“Chama Imara, Huduma Bora kwa wanachama wetu wote.

viongozi wakuu wa Chama

20210108_132229
Katibu Mkuu Taifa

Ndg. Rashid M. Mtima

20210108_131934
Mwenyekiti Taifa

Ndg.Tumaini P. Nyamhokya

DSC_1254-removebg-preview
Makamu Mwenyekiti Taifa

Ndg.Romward Mwashiuya

151 wandiba kongoro
Naibu Katibu Mkuu Taifa

Ndg.Wandiba Kongoro

DSC_1252-removebg-preview
Mweka Hazina Taifa

Ndg. Siston Mizengo

Kuhusu Chama

 

TALGWU ni Chama cha wafanyakazi wa serikali za Mitaa Tanzania ambacho kimesajiliwa chini ya sheria ya vyama vya wafanyakazi no 10 ya mwaka 1998,na kilipewa nambari ya usajili  010 tarehe 15/09/2000. TALGWU inaunganisha wafanyakazi wote waliopo chini ya Mamlaka za serikali za mitaa na Taasisi nyingine  nchini ambapo hadi kufikia June 2018, Chama kilikuwa na wanachama 62,170.

TALGWU inajishirikisha na shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA) shirikisho la vyama vya wafanyakazi vinavyotoa huduma kwa umma duniani (PSI) na Mtandao wa Vyama vya Wafanyakazi vya Serikali za Mitaa  Africa (AMALGUN). Hivyo basi chama cha wafanyakazi ni ummoja, muungano, na mshikamano wa wafanyakazi ambao nia, malengo, matakwa na matarajio yao yanafanana.

Umoja huo ndio nguzo pekee ya kupatia ufumbuzi wa matatizo yao. TALGWU inaelimisha, inatetea, na kulinda ajira na ujira wa wanachama wake kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni, miongozo na nyaraka mbalimbali za kazi.

You tube channel yetu

Habari Mpya

IMG_20210611_233609_666

Menejimenti ya Chama ikiwa katika picha ya pamoja nje ya jengo la Bunge la Tanzania.

IMG_20210611_233318_751

Wajumbe kamati ya Utendaji wakiwa katika picha ya pamoja mara na Waziri maara baada ya mwaliko wa bunge jijini Dodoma.

Wenyeviti wa Mikoa wakiwa na Viongozi Wakuu wa Chama

Wenyeviti wa Mikoa Wakiwa na Viongozi Wakuu wa Chama katika picha ya pamoja.

Matukio Mbali Mbali

Mtandanoni

Waliopo hapo ni wajumbe wa Baraza, Wastaafu Viongozi wakuu wa Chama pamoja na Mgeni Rasmi, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana,Ajira na wenye Ulemavu) Ndg Patrobas Paschal Katambi, waliohudhuria Kikao cha Baraza Kuu Taifa kilichofanyika Januari 2024 Jijini Dodoma.

Washirika Wetu

Ungana nasi kupitia Mitandao yetu